Thursday, June 11, 2015

Hizi ndizo kanuni za kuwa na afya njema

Ili uweze kufanya shughuli zako za kila siku ikiwa ni pamoja na shughuli za uzalishaji mali ni lazima uwe na afya njema. Afya ni hali ya kuwa vizuri kimwili, kiakili, kisaikolojia na kiroho pia. Watu wengi huchukulia kuwa watu wanene ndio wenye afya njema na wakati mwingine hudhani kuwa watu wembamba ndio wenye afya. Lakini kiukweli hilo si kweli.  Mtu mwenye afya ni yule  endelea kusoma hapa  http://lifeadventurestz.blogspot.com/2015/05/hivi-ndizo-kanuni-za-kuwa-na-afya-njema.html