Friday, January 31, 2014

DRIVERS NEVER ASSUME ANYTHING ON THE ROAD: Hatari sana

Do not assume anything on the road while driving.
The driver must have thought that the bridge is covered with rain-water
But in actual fact the bridge was washed away.
WHAT HAPPENED?? 
See this video below



Thursday, January 30, 2014

Ruzuku ya pembejeo ina ufisadi mkubwa

Mkulima wa mahindi anayelima hekta moja anahitaji mbegu na mbolea za kupandia na kukuzia zenye thamani ya tshs 220,000. Kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa chakula nchini Serikali iliamua kuanzisha mfumo wa kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima wa hali ya chini. Kwa mfumo huu serikali hulipia tshs 140,000 kupitia vocha anazopewa mkulima na kuziwasilisha kwa mawakala wa mbolea na mbegu. Hivyo mkulima hulipia tshs 80,000 tu.



Serikali kupitia wizara ya kilimo na chakula hutengeneza Vocha hizo na kuzigawa mikoani ambapo napo huzigawa wilayani kisha vijijini. Serikali ya Kijiji kupitia mkutano Mkuu wa kijiji huteua wafaidika wa mfumo huu na kuwapa Vocha. Wao hupeleka Vocha hizi kwa mawakala wa pembejeo, wanalipa fedha ya juu na kupewa mbolea na mbegu. Mawakala hupeleka fedha hizi Benki ya NMB ambayo huwalipa mawakala fedha ya thamani ya Vocha. Wizara ya Fedha nayo 
huilipa NMB ambayo hutoa huduma hii kwa riba ya 4%

Lakini mfumo mzima umegundulika ni wa kifisadi ambapo orodha ya wafaidika huchakachuliwa kiasi cha kuweka hata watu waliokufa kwamba wamepokea mbolea. Kamati ya Bunge ya PAC katika kikao chake na wizara ya kilimo na mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali tarehe 28 January 2014, iliambiwa kuwa baadhi ya maeneo nchini mawakala walikuwa wananunua Vocha kutoka kwa wakulima kwa tshs 10,000. Katika jimbo la uchaguzi la kigoma kaskazini mawakala walinunua Vocha hata kwa shs 2000 na wao kwenda kulipwa tshs 140,000 huko benki kana kwamba waliuza mbolea ile kwa wakulima.

click here to read more

Monday, January 27, 2014

PCCB CALL FOR INTERVIEW


After passing an Aptitude Test which was conducted on 17th January, 2014 at PTA Hall Saba Saba Grounds, the following are the names of candidates who have qualified and eligible for oral interview which will be held at PCCB Head Quarters on the respective dates as indicated below starting from 3rd February,2014

.
PCCB CALL FOR INTERVIEW.pdf -

NB: Candidates must meet their own expenses to and from Dar es Salaam

RATS (PANYA BUKU): FROM PESTS(VERMIN) TO SUPER HEROES

It is not very long when the luckiest rats (Panya Buku) believed to only be harmful to crops, farm animals,  game and carrying disease were hunted down and killed without realizing their potentials. 
Sokoine University of Agriculture and other partners have tried to change the mentality of many after rethinking and researching more on the rats and as we speak their name has changed to SUPER HERO RATS what a wonderful step!.

The rise of these super hero rat will probably give hope to these living creatures. Thanks to Sokoine University of Agriculture (SUA) and other partners  for their profound researchs. Its of no doubt that the rats have all the reasons to become happy when they see researchers from SUA because they are sure of their safety.


They have no reason to hide to SUA researchers!!! But only to SUA researchers


Lucky rats

Click to read more ..............


Many thanks to Prof. Makundi and team for their contribution and making SUA shine.




Saturday, January 25, 2014

SMALL GRANT FOR A MASTERS RESEARCH PROJECT: LESSONS FROM EQUITY FINANCE EXPERIENCES OF TANZANIAN SMES

The Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED) is piloting an equity finance investment scheme and would like to learn from experiences, successes and challenges of investors and investees under this mode.  IMED will support one master’s student to undertake a study in this area in 2014.

The issue
External equity finance in Tanzanian SMEs is known to be a rare phenomena.  Yet, it offers an opportunity for SMEs to raise capital, share risks, complement knowledge and skills, etc.  Many reasons have been put forth to explain why it is difficult for SMEs to access and use equity finance from both local and foreign investors. However, there are a few cases of successful equity investments in SMEs, both from local and foreign investors.  This study will examine the experience of SMEs that have accessed equity investments and investors who have placed equity in SMEs   to draw lessons for scaling up this form of finance. The study will entail case studies of at least 10 SMEs that have accessed equity investments as a basis for drawing lessons and scaling up this approach.  The specific methods will include literature review and interviews with investors and investees and where possible their family.

Eligibility
Masters students who have completed their course work. Experience in the financial sector will be an added advantage. The candidate must be prepared to focus on the project and complete it no later than May 2014.

Application process
Interested candidates should submit a 2 page concept to olomi@imedtz.org with:
(i)                  Study  background, research problem, objectives, and methodology sections (Maximum 2 pages)
(ii)                Personal profile showing educational background, college, institutional affiliation (if any) experience (if any), current status (e.g. MBA candidate who has completed course work) and motivation for undertaking the study (Maximum ½ page).

Support Offered
The selected concept/candidate will get a Tshs 1,000,000/- grant to cover research expenses (travel, incidentals, stationery, etc).  Half of these will be released upon completion of a satisfactory research proposal and the remaining upon completion of the study. IMED will also provide an experienced supervisor or a mentor (informal co-supervisor), depending on the policy of the institution where the successful candidate is registered.

Friday, January 24, 2014

Mamia ya watu waharibiwa makazi kwasababu ya Mafuriko huko Morogorro



Daraja likiwa limeharibiwa vibaya Moja kati ya maeneo ya Dumila kuelekea Dodoma


MAFURIKO YAVUNJA DARAJA LA BEREGA

Barabara zikigeuka bahari kutokana na mvua zilizo nyesha kwa siku moja tu.




Mafuriko yakiwa yamevunja kabsa lililoko   daraja maeneo ya Berega huko Dumila ambapo katika barabara ya Morogoro – Dodoma

Thursday, January 23, 2014

DID YOU KNOW HOW TO EFFECTIVELY IRRIGATE YOUR GARDENS?


This Video explains how to effectively irrigate your small home garden using a coiled garden hose

The pipe is easy to use and store. The coiled garden hose is 15 meter long, coils on its own; it has 1 hand spray and 2 connectors one of them is used with the tap.

The main advantage of coiled garden hose is that it can be stored easily compared to the old way of coiling the garden hose which is a hideous task.