Tuesday, October 27, 2015

Wasanii wang'ara kwenye siasa: Kigoma mjini ya mpa ridhaa Baba Levo

Kwa walio wengi mna mfahamu kijana ambaye ni msanii hapa Tanzania almaarufu kama Baba Levo ambaye pia ni mchekeshaji mzuri.

Huyu kijana kaukwaa udiwani huko kata ya kigoma mjini.

Kumbe Baba Levo nae yumo… Baba Levo ameshukuru sana kwa ushindi wake huku akisema kwamba japo kashinda na anakuwa Diwani Kigoma mjini kwa miaka mitano lakini muziki hatouacha na atajitahidi pia kusaidia vijana wenye vipaji Kigoma ili waweze kutambulika kwa sanaa wanazofanya

Tunamtakia kila lakheri katika ujenzi wa taifa letu kijana mwenzetu.

Big up bro!!

5 comments:

Unknown said...

sir ,i want to know how to upload in a blog

Manase said...

Hellow sir I want to learn on how to ensure maximum web security

Unknown said...

to learn how to add more images on my blog and keep it secured and preserved for long term

Unknown said...

Sir, I would like to understand the procedures to follow in order to upload either a photo, video or any document in a blog without taking a long time when uploading

Sakim Center of Agricultural Excellence said...

Sorry sir,
May you help me to understand the main principles of developing web site as well as procedures of creating google form.