Sikuwahi kuwa mkereketwa wala sikuwahi kumsikiliza MHE. MWIGULU NCHEMBA kwa makini sana hasa kwasababu ya tabia na hoja zake kuwa na upendeleo/mrengo wa namna fulani hata kwa kulazimisha ilimradi aonekane ameshinda. Lakini katika hili alilizungumza kwenye hotuba aliyotoa kwenye kikao
cha pamoja cha bunge la ACP na EU katika mji wa Strasbourg nchini Ufaransa amenifanya nifarijike. Nchemba alisema bila kumung'unya maneno "In
Tanzania We will remain with our values without an assistance in
dishonour of homosexual policies"
Swali
lililoteka hisia za mkutano lilikuwa swali lililosema