Wednesday, December 31, 2014

TAARIFA YA UKAGUZI MAALUM KUHUSIANA NA MIAMALA ILIYOFANYIKA KATIKA AKAUNTI YA "ESCROW‟ YA TEGETA,PAMOJA NA UMILIKI WA KAMPUNI YA IPTL

Breaking News: Mtuhumiwa wa Madawa ya Kulevya apigwa risasi Mahakama ya Kisutu



Mtuhumiwa alipojaribu kutoroka mahakamani hapo akiwa amenasa kwenya nondo za uzio

Tanzania will never prosper with corrupt Msian investments: Consultant

A development consultant has criticised Malaysian investments in Tanzania, saying that the country will never prosper in the absence of ruling elites whose "rent-seeking strategies" contribute to rather than subtract from the public good.
Brian Cooksey, an independent writer in Dar es Salaam, said that "it is one thing for politicians and bureaucrats to take a cut from a valid investment that generates significant employment, turns out useful products, and contributes to government revenue.
"But it is quite another for this group to take a corrupt cut from a project which derails a key national policy and imposes huge additional costs on end users and tax-payers," he added.

WAVUTI: Maoni ya mdau kuhusu hotuba ya Mh. Rais kuhusiana na ESCROW

Wengi tumemshangaa Rais wetu kwa jinsi alivyokuwa amejiekeza kuwatetea wahalifu na kamwe hakuonyesha uchungu wa hasara iliyosababishwa na wezi wale! Katika nchi wanakotoka hao vibaka kosa la kukwepa kodi lingewagharimu

Udini vyuo vikuu: Gazeti Jamhuri

Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imezuia uongozi wa vyuo vikuu nchini kuwalazimisha wanafunzi kuingia darasani au kufanya mitihani kwa siku zao za ibada.

Ingawa hazikutajwa, siku maalum za ibada zilizozoeleka kwa madhehebu mengi ni Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.

Agizo la Serikali limetolewa na C.P. Mgimba kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

Barua hiyo ya Novemba 11, mwaka huu yenye kicha cha habari: “Wanafunzi kulazimishwa kuingia darasani au kufanya mitihani siku za ibada”, imepelekwa kwa Makamu Wakuu wa Vyuo, Wakuu wa Vyuo Vikuu Vishiriki; Wakuu wa Vyuo- Vyuo Vikuu na Vyuo Vishiriki vya Umma na Binafsi, Tanzania Bara.

Inasema: 

“Wizara imepokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na wanafunzi

Monday, December 29, 2014

IMANI: Kama Unafanya Mambo Haya, Utajiri Kwako Ni Lazima

Kuwa na mafanikio makubwa na hatimaye kuwa tajiri ni kitu ambacho kinaonekana kuwa kigumu kwa wengi ama hakiwezekani kabisa. Hii yote inatokana na wengi kutokujua njia au mambo muhimu ya kufanya hadi kufikia mafanikio makubwa. Kutokana na hili wengi wamekuwa wakijiuliza wafanye nini au kitu gani kitakachowafanikisha katika maisha yao.

Quote of the day

"Age will not make you wise if you are a fool. 
It will only make you a fully grown fool 
Husband/ Father/Religion follower/ 
politician, etc"

Sunday, December 28, 2014

Sasa ni Roboti badala ya binadam kwenye migahawa: Soma hii


Roboti zapata ajira mgahawani China


Mgahawa mmoja nchini China umeanza kutumia Roboti badala ya kuwaajiri hadimu au wafanyakazi wa hotelini kuwapakulia chakula na vinywaji wageni. Hebu tazama mambo yalivyo

For more visit here
Source: bbc.com

Saturday, December 27, 2014

BBC: Kilio cha wakulima wa Karafuu Pemba

Source:BBC Swahili

Kisiwa kidogo cha Pemba katika bahari ya Hindi, kilikuwa ndio walimaji wakubwa wa karafuu duniani kwa miaka na mikaka.
Hivi karibuni, nafasi hiyo hivi karibuni imechukuliwa na Indonesia. Wakulima wa karafuu sasa wanasema wanahitaji serikali yao kuwasaidia zaidi ili kuweza kuendeleza kilimo cha zao hilo walilolima kwa miaka mingi.
Karafuu inatumiwa duniani katika chakula, dawa na nchini Indonesia ni moja ya kiungo muhimu kwa utengenezaji wa Cigars. 

Kama ilivoripotiwa na SALIM KIKEKE
Ili kuangalia video iliyo ambatanishwa bonyeza hapa

source: www.bbcswahili.com

Quote of the day



Wednesday, December 24, 2014

TAARIFA YA IKULU: SASA MASWI NAYE NJE

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda Ndugu Eliakim Maswi, Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake, kama ilivyoelekezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Balozi Sefue amemsimamisha kazi Ndugu Maswi kuanzia leo, Jumanne, Desemba 23, 2014, kwa kutumia madaraka aliyonayo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Watumishi wa Umma wanaoteuliwa na Rais, wakiwemo Makatibu Wakuu.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Balozi Sefue mjini Dar es Salaam imesema kuwa amechukua hatua hiyo “Kwa mujibu wa Kifungu 4(3) (d) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Na. 8 ya mwaka 2002 (kama ilivyorekebishwa)” ambapo “Katibu Mkuu Kiongozi ndiye Mamlaka ya Nidhamu kwa Watumishi wa Umma wanaoteuliwa na Rais, wakiwemo Makatibu Wakuu.”

Badala yake, Balozi Sefue amesema kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi C. Mwihava atakaimu nafasi ya Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini, hadi uchunguzi dhidi ya Ndugu Eliakim C. Maswi utakapokamilika.

Taarifa hiyo ya Balozi Sefue pia imekariri kauli ya Rais Kikwete katika hotuba yake kwa Taifa jana, Jumatatu, Desemba 22, 2014 ambako Rais alisema:

“Kuhusu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, kwa vile ni Mtumishi wa Umma, anatawaliwa na Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma, hivyo nimeshaelekeza Mamlaka kuchunguza tuhuma zake na hatimaye ikibainika ana makosa hatua za kinidhamu zitachukuliwa.”

Ndugu Maswi, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Ndugu Frederick Werema pamoja na Mawaziri wawili walituhumiwa wakati wa Kikao cha Bunge kilichopita kuhusiana na Akaunti ya Tegeta Escrow.

Wakati huo huo, Rais Kikwete ameelekeza kuwa pamoja na hatua nyingine zinazochukuliwa, Shirika la Umeme (TANESCO) waendelee na majadiliano na IPTL kuhusu uwezekano wa kushusha tozo la uwekezaji (capacity charge) zaidi ya punguzo la awali lililopatikana kupitia Kituo cha Kimataifa cha Kusuluhisha Migogoro ya Kimataifa (ICSID).

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu – Dar es Salaam.

TEGETA ESCROW ACCOUNT: JIRIDHISHE KWA MKUSANYIKO WA NYARAKA HIZI

Ifuatayo ni orodha ya nyaraka alizokusanya Salim Khatri kuhusiana na 'Tegeta Escrow Account'. Unaweza kufuatilia mjadala ulioibua nyaraka hizi kwenye kundi pepe la Wanazuoni Yahoo! Group (kwa kubofya hapa).


wavuti: Kauli ya Prof. Tibaijuka baada ya Rais kutengua ut...

wavuti: Kauli ya Prof. Tibaijuka baada ya Rais kutengua ut...: [Baadhi ya] Wananchi mkoani Kagera wamepinga uamuzi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete kwa kumuondoa m...

Hotuba rasmi ya Rais ya Desemba 22, 2014 na Wazee Dar

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA DAR ES SALAAM,TAREHE 22 DESEMBA, 2014

Shukrani
Mheshimiwa Makamu wa Rais;
Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM;
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam;
Viongozi wa CCM Mkoa;
Viongozi Wenzangu;
Viongozi wa Dini;
Wazee Wangu;
Wananchi Wenzangu;
Nawashukuru sana wazee wangu wa Dar es Salaam, kwa kukubali mwaliko wangu na kuja kuzungumza nami siku ya leo.  Natambua kuwa taarifa ilikuwa ya muda mfupi lakini mmeweza kuja kwa wingi kiasi hiki.  Naomba radhi kwamba ilikuwa tukutane Ijumaa lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu tukaahirisha mpaka leo. Asanteni sana kwa uvumilivu wenu.  

Kama mjuavyo, kila ninapoomba kukutana nanyi ninalo jambo au mambo muhimu kitaifa ambayo napenda kuzungumza nanyi, na, kwa kupitia kwenu taifa zima linapata habari.  Leo nina mambo mawili.

Wazee Wangu;
Kwanza kabisa, nataka kurudia kuwashukuru Watanzania wenzangu kwa moyo wenu

Real ICT4D (Health) : STDs tested using Internet and mobile phones in Kenya

Kenyans who suspect they have sexually transmitted diseases ( STDs) can now order for tests anonymously and quickly through the internet or mobile phones to protect their privacy.
The new initiative, unveiled by Pathologists Lancet Kenya, comes amid recent research data revealing that lack of sufficient privacy in sexually transmitted infection (STI) testing clinics was one of the major barriers against uptake of STD tests in the country.
In addition, many Kenyans, especially the youth, often contract STDs during the December holidays, but privacy concerns impact negatively on the decision to seek testing and treatment.
Now Kenyans will be able to request the full range of STD tests, including gonorrhea, syphilis, herpes and HIV by booking anonymously through the internet or telephone without sharing their names or going to the clinic.
Blood and urine samples are then collected from any location in the country where the client is most comfortable with, usually away from the eyes of family members, friends, work colleagues or people familiar to them.
Alternatively, kits for collecting samples can be dispatched to the clients in sealed packages through courier and returned to the lab for testing. Once the results are ready, the client is notified to access them through a special, secure and restricted web portal.

Tuesday, December 23, 2014

[VIDEO] Bush men rob a kill from Cheetahs


A facebook friend shared this interesting video.

The video is showing how courage can outsmart some of the strongest predators. 
Bushmen rob a kill from cheetahs. This is a good ecological video on competition between man and predators. 

Why waste much energy to kill your prey when another predator can do it for you?

click HERE to view the video

Monday, December 15, 2014

SCHOLARSHIP IN DENMARK


Danida Fellowship Centre (DFC) on behalf of Danida, Ministry of Foreign Affairs, Denmark, calls for applications for MSc Scholarships under the Building Stronger Universities Programme.

The Programme offers 38 two-year full-time scholarships available for commencement in September 2015.

Bachelor graduates from the following universities are eligible to apply:

  • Ghana: University of Ghana and Kwame Nkrumah University of Science and Technology
  • Tanzania: Sokoine University of Agriculture, Kilimanjaro Christian Medical College, and State University of Zanzibar
  • Uganda: Gulu University
  • Nepal: Kathmandu University.
The aim of the MSc Scholarship Programme is to provide talented students from South partner universities with the opportunity to obtain a master's degree from a Danish university in order to contribute to the development of their countries. In addition to their professional studies, it is expected that the students will obtain good knowledge of the Danish society, culture and values as well as the opportunity to networking with Danish students, companies and organisations.

For more information click HERE to download the flyer 

Saturday, December 13, 2014

[INFORGRAPHIC]: The Science Behind Sports and Happiness


wavuti: Ushauri kuhusu kilimo cha mitiki mkoani Tanga

wavuti: Ushauri kuhusu kilimo cha mitiki mkoani Tanga: Miti ya mitiki michanga (picha kutoka  ndanda.org ) Ndugu yangu, mimi nipo kijij cha Bwitini wilaya ya Muheza mkoa wa Tanga. Ninalo...

Taarifa ya teuzi mbalimbali za Rais: Prof. D. Kamarage na Prof L. Mellau kutoka SUA


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Dominic M. Kambarage kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Kipya cha Kilimo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014.

Taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue imesema kabla ya kuteuliwa kwake kuwa Makamu Mkuu wa Chuo, Profesa Kambarage alikuwa Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Sokoine, Morogoro.

Taarifa ya Balozi Ombeni Sefue imesema kufuatia kuanzishwa kwa Chuo hicho kingine cha Umma, Rais Kikwete pia amemteua Profesa Lesakit S. Mellau kuwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo hicho upande wa Taaluma kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014, na kabla ya uteuzi wake, Profesa Mellau pia alikuwa Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Sokoine, Morogoro.

Aidha Taarifa ya Balozi Sefue imesema Rais Kikwete amemteua Profesa Msafiri M. Jackson kuwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo cha Kilimo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Utawala) kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kabla ya uteuzi huo, Profesa Jackson alikuwa Mratibu wa Masomo ya Taaluma za Shahada za Juu katika Chuo Kikuu cha Ardhi, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Laurence Nyasebwa Mafuru kuwa Msajili wa Hazina kuanzia tarehe 5 Novemba, 2014.

Taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa kabla ya uteuzi wake, Bwana Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Rasilimali Fedha katika Ofisi ya Rais inayohusika na ufuatiliaji Miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (PDB). Aidha Bwana Mafuru pia alikuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Benki ya FBME iliyowekwa chini ya uangalizi wa muda wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT). 

Wakati huohuo, Taarifa ya Balozi Sefue inasema Rais Kikwete amemteua Bibi Beng’i Mazana Issa kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kuanzia tarehe 4 Desemba, 2014. Kabla ya uteuzi wake, Bibi Mazana Issa alikuwa Mkurugenzi wa Utawala wa Fedha katika Tume ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Katarina Tengia Revocati kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, imesema kabla ya uteuzi huo, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Biashara.

Vilevile katika Taarifa hiyo, Rais Kikwete pia amemteua Bwana Rugalema J. Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama Kuu kuanzia tarehe 5 Desemba, 2014. Kabla ya uteuzi wake, Bwana Kahyoza alikuwa Hakimu Mwandamizi Msaidizi, Mahakama Kuu, Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Menejimenti na Mashauri.

Katika hatua nyingine, Rais Kikwete amemteua Dkt. Fidelice Mafumiko kuwa Mkuu wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) kuanzia tarehe 4 Desemba, 2014. Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Mafumiko alikuwa Naibu Mkuu TEWW.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
11 Desemba,2014

Friday, December 12, 2014

CALL TO APPEAR FOR INTERVIEWS and JOB OPPORTUNITIES RE-ADVERTISEMENT

1. CALL TO APPEAR FOR INTERVIEWS

Sokoine University of Agriculture wishes to inform the following candidates who applied for various positions in different departments to appear for interviews to be held on the dates and time stated below. Apart from appearing before an Interview panel, the interview shall also include a Public Presentation in the area/discipline of specialization one has applied and a written Language English Proficiency Test.

NOTE:- Candidates should report to the Head of the respective Department. All candidates should come with original certificates, transcripts and other testimonials during the interview. For those who did not study in Tanzania make sure you come with letters of certification /verification from TCU. All costs related to the individua/ candidate attending the Interview will be covered by the individual/ candidate.

2. JOB OPPORTUNITIES RE-ADVERTISEMENT

The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) invites qualified Tanzanians to apply for positions of Tutorial Assistants (TA’s) (<35 yrs of age) and Assistant Lecturers (<45 years). Applicants are advised to note that the minimum GPA of 3.8 or an average of B for unclassified degrees such as that of Veterinary and Medical graduates at undergraduate level applies for TA’s and 3.5 at BSc/BA level or equivalent (i.e. an average of B for Veterinary and Medical graduates) and a good Masters degree with a GPA of 3.8 is applicable for those with postgraduate qualifications. Only registered Veterinarians will be considered for interviews. Due to procedural technicalities the following positions had to be re-advertised. Applicants are advised to note that salary packages and fringe benefits shall be as per Treasury Registrar’s Salaries Circular No. 3 of 2013.

click HERE for more information

[VIDEO] HIMBA - Another tribe like Maasai

FAST FACTS

1.  The Himba (singular: Omuhimba, plura: Ovahimba) are an ancient tribe in Namibia, closely related to the Herero (read more about the Herero here)
2.      Language: Otjihimba, a dialect of the Herero language
3.      Population: about 20,000 to 50,000 people
4.      They are a semi-nomadic, pastoral people who breed cattle and goats.
5.  Women tend to perform more labor-intensive work than men do, such as carrying water to the village, building homes and milking cows. Men handle the political tasks and legal trials.
6.  Their homes are simple, cone-shaped structures of saplings, bound together with palm leaves, mud and dung
7.  In the Himba culture a sign of wealth is not the beauty or quality of a tombstone, but rather the cattle you had owned during your lifetime, represented by the horns on your grave.
8. The Himba have been plagued by severe droughts, guerrilla warfare (during Namibian independence and the Angolan civil war) and the German forces that decimated other groups in Namibia. Despite Himba life nearly coming to a close in the 1980s, they have persevered and their people, culture and tradition remain

9.   The women are famous for rubbing their bodies with otjize, a mixture of butter fat and ochre, believed to protect their skins against the harsh climate. The red mixture is said to symbolize earth's rich red color and the blood that symbolizes life