Saturday, February 21, 2015

TARATIBU ZA KUFUATA TBS KWA WANAOTAKA KUPIMA SAMPULI ZA BIDHAA


  • ANDIKA BARUA KWA MKURUGENZI MKUU UKIOMBA KUPIMIWA SAMPULI YAKO NA VIPIMO UNAVYOTAKA VIPIMWE
ANUANI:
MKURUGENZI MKUU,
SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA (TBS),
S L P 9524, DAR ES SALAAM
TANZANIA
Baruapepe: info@tbs.go.tz
  • WASILISHA BARUA YAKO TBS KWA MKONO, AU TUMA KWA NJIA YA POSTA AU KWA NJIA YA MTANDAO
  • MTEJA ATAJULISHWA GHARAMA ILI AWEZE KULIPIA, KIASI CHA SAMPULI INAYOTAKIWA KUWEZESHA UPIMAJI NA TAREHE AMBAYO MAJIBU YATAKUWA TAYARI KUCHUKULIWA
  • MTEJA ATALIPIA GHARAMA ZA UPIMAJI KWA ASILIMIA MIA MOJA (10%) NA ATAPEWA STAKABADHI MBILI ZA MALIPO HALISI NA NAKALA YA STAKABADHI
  • MTEJA ATAWASILISHA NAKALA YA STAKABADHI YA MALIPO KATIKA OFISI YA KUPOKELEA SAMPULI
  • SAMPULI TAPOKELEWA KATIKA CHUMBA CHA KUPOKELEA SAMPULI
  • SAMPULI TAPELEKWA MAABARA NA WATUMISHI WA TBS
  • UPIMAJI UTAANZA NA KUKAMILIKA KATIKA MUDA ALIOJULISHWA MTEJA
  • MTEJA ATACHUKUA RIPOTI YA VIPIMO BAADA YA KUONYESHA NAKALA HALISI YA STAKABADHI KATIKA OFISI HUSIKA

(Taarifa ya TBS)

4 comments:

Unknown said...

What are the difference between TBS and TFDA in the way these regualatory bodies work especially on quality assuarance of food. JOHN, Jengo
FST/D/12/T/0042

TARIMO Christian said...

Good News, why there is no current news in this blog from February 21.

Unknown said...

Thanks Sir Msungu for teaching us very well I believe that through your course we will do wonders concerning information management.
But I still have a problem on how to create a website may I have your assistance please.

Unknown said...

its a very nice information sir, but i think it would be nice too if you could update us more, there is no more information since the last time you sent this