Sunday, March 6, 2016

Mh. Rais atangaza uteuzi wa katibu mkuu kiongozi mpya




Leo tarehe 6.3.2016 Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amemtangaza katibu mkuu kiongozi mpya kwenye serikali yake Mhandisi John Kijazi ambaye anachukua nafasi hiyo iliyokua kwa Ombeni Sefue, katibu mkuu mpya Mhandisi John Kijazi amekua akifanya kazi kama Balozi wa Tanzania India, mtazame Rais Magufuli hapa chini.



Rais J. P. Magufuli akimshukuru Balozi Ombeni Sefue kwa mchango wake na uchapoa kazi katika miezi yake mitatu ya uongozi.
Katika uteuzi huu Mh. Rais amesema Balozi Sefue atampangia kazi nyingine.

No comments: