Saturday, March 15, 2014

MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA S. SITTA: ANENA KWENYE HOTUBA

Wajumbe wa Bunge la Katiba wana wajibu wa kuzingatia Kanuni walizozipitisha wenyewe wakati wa vikao vya Bunge hilo. Hiyo ndiyo salamu aliyoitoa Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge hilo, Samuel Sitta mara baada ya kula kiapo cha utumishi mjini Dodoma.




No comments: